Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wabunge Waomba Wanaume Wafungwe Kizazi

$
0
0
Wabunge wametaka kuwepo na udhibiti wa ongezeko la watu nchini kwa  kutaka wanaume wadhitibiwe katika uzazi, kama ilivyo kwa wanawake huku wengine wakitaka serikali kuboresha rasilimali bila kudhibiti uzazi. Miongoni mwa waliotaka wanaume wafungwe kizazi kama inavyofanyika kwa wanawake ni Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki, Celina Kombani ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>