Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Prof. Lipumba Awataka Wananchi Kutowachukia Polisi

$
0
0
Chama cha Wananchi CUF kimewataka wananchi kutowachukia polisi kufuatia kitendo cha kutotenda haki kwa raia ikiwemo kuwabambikizia kesi mbalimbali na kuwashushia vipigo bila sababu zozote. Hayo yalisemwa na mwenyekiti wa taifa wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mapema jana  jijini Dar es Salaam.   Hata hivyo Profesa Lipumba amesema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>