Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JWTZ yaapa kupambana na majambazi wanao pora silaha za askari

$
0
0
Jeshi la wananchi nchini (JWTZ) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama nchini limeahidi kukabiliana na makundi ya watu wanaodaiwa kuwa majambazi sugu ambao wanapora silaha za askari huku wengine wakiuawa hatua ambayo imeanza kutishia usalama wa nchi.    Akizungumza jijini Tanga kufuatia hivi karibuni makundi hayo kupora silaha na kisha kuua askari huko Rufiji mkoani Pwani na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles