Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu Wawili wauawa kikatili Sumbawanga

$
0
0
WATU wawili wakazi wa wilaya ya Mlele mkoani Katavi wameuawa kikatili ambapo mmoja amecharangwa kwa mapanga na mwili wake kukatwa vipande vipande kisha kuzikwa shambani kwake na mwingine kuchinjwa na watu wanaodaiwa kuwa wa familia yake.   Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo na kusema aliyekatwa vipande ni Minza Mwanalushinga (26)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>