Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

HakiElimu Waponda Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika Elimu

$
0
0
Shirika la haki Elimu nchini Tanzania limetoa tathmini ya mpango wa matokeo makubwa sasa BRN katika sekta ya elimu kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita inayoonesha kwamba hali ya utekelezaji wa mpango huo si ya kuridhisha.   Kaimu mkurugenzi wa shirika hilo Bw. Godfrey Boniventura amesema kuwa pamoja na serikali kutambua kuwa sekta ya elimu hapa nchini ina changamoto nyingi na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>