Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kinana apiga MARUFUKU ziara za mikoani za Mwigulu Nchemba kwa madai kuwa zina harufu mbaya ya Kampeni za Urais

$
0
0
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Mwigulu Nchemba amekubali kuitikia wito wa kusitisha ziara zake za kichama katika mikoa na wilaya mbalimbali nchini, kama alivyoagizwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.   Katika barua yake ya Januari 18, mwaka huu, Kinana alimwagiza Mwigulu ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi mkoani Singida,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>