Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro limefanikiwa kudhibiti wanachi
waliobeba madumu wakitaka kuiba mafuta baada ya lori la mafuta kuanguna
katika eneo la Mikese mkoani Morogoro.
Dereva wa lori Deogras John hilo akizungumzia tukio hilo la ajali
amesema chanzo cha ajali alikua akijaribu kumkwepa mtoto aliyekua akivuka
barabara ndipo gari ikapoteza mweleko na kupinduka mara kadhaa ambapo
↧