Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Watanzania
kuhakikisha rais watakayemchagua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,
lazima awe na hofu ya Mungu.
Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana, wakati akizungumza
katika hafla ya kusimikwa kwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la
Dodoma, Beatus Kinyaiya.
Alisema kiongozi huyo, mbali na kuwa na hofu ya Mungu,
↧