Mbunifu wa mavazi na mtangazaji Bongo, Jokate
Mwegelo amesababisha shosti yake, Wema Sepetu ‘Madam’ afurahi baada ya
kumpelekea zawadi ya kandambili zake za Kidoti pamoja na vipodozi
mbalimbali.
Jokate alisema Wema ni miongoni mwa watu ambao
anawakubali kutokana na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo,
hivyo ameamua kumpelekea zawadi ya bidhaa zake za Kidoti kuonesha
heshima
↧