Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wapinzani wasema Watahakikisha wanafunzi waliofukuzwa UDOM wanarejeshwa

$
0
0
KAMBI rasmi ya upinzani bungeni imesema itawasaidia kwenye masuala ya kisheria wanafunzi waliofukuzwa kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kutokana na kuandamana kudai kupewa fedha za kujikimu.   Akizungumza juzi katika ofisi za Bunge, Waziri Kivuli wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Susan Lyimo alisema kuwa tatizo hilo linatokana na serikali kutokuwa na mipango ya kuhakikisha maslahi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>