Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mume na mke watiwa mbaroni kwa mauaji ya mganga wa jadi

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu tisa kwa tuhuma za mauaji katika matukio mawili tofauti wakiwemo mume na mke waliomuua mganga wa jadi.   Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani hapa Henry Mwaibambe, alisema tukio la kwanza lilitokea saa 3:00 usiku wa Januari 14 mwaka huu katika kata ya Bugarama wilayani Ngara ambapo mganga wa jadi, Alfaxad John (

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>