Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vijana Watatu wa Ubungo Kibangu wadai kuteswa na wanajeshi wa kambi ya Makoka

$
0
0
WANAJESHI wapatao wanane wanadaiwa kuwatesa na kuwapiga vijana watatu katika eneo la Ubungo Kibangu, Dar es Salaam pasipokuwa na sababu maalumu.   Wakizungumza na mwandishi wetu jana, vijana hao walieleza kuwa walikamatwa na wanajeshi hao na kupelekwa porini kisha wakateswa na kupigwa kwa zaidi ya saa tano bila kufahamu kosa lao na hata walipohoji waliambiwa hawaruhusiwi kuhoji wanajeshi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>