Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Meli Yazama na kuua Watu 14.....Basi Lapinduka na kuua watu Wanne

$
0
0
Watu 18 wamepoteza maisha katika ajali mbili tofauti, ambapo katika ajali ya majini meli iliyobeba shehena ya mahindi imezama na kuua watu 14, wakati katika ajali ya barabarani, basi kutoka Handeni mkoani Tanga kwenda Dar es Salaam limeua watu wanne. Katika ajali ya majini, Kamanda wa Polisi mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda  alisema abiria 14 kutoka nchi jirani ya Burundi wanahofiwa kufa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>