Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Msafara wa Waziri Muhongo wazomewa Kahama......Wananchi Wapaza Sauti wakidai...."Mwiziiiii....Mwiziiii"

$
0
0
WAZIRI wa nishati na madini Mhe. Sospeter Muhongo amejikuta katika wakati mgumu na msafara wake baada ya kuzomewa na wananchi wa soko la wakulima katikati ya mji wa Kahama wakati akitokea kwenye ziara yake vijijini wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Tukio hilo limetokea hivi karibuni wakati waziri huyo na msafara wake wakitokea kata ya Bulungwa kwenye jimbo la Kahama kuelekea kata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles