Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ray C akanusha kuirudia Bangi na Madawa ya Kulevya.....Asema watu wanataka kumharibia kwa Rais Kikwete

$
0
0
Rehema Chalamila aka Ray C amekanusha taarifa zilizoandikWa na gazeti moja la udaku nchini kuwa ameacha kuendelea na matibabu ya methadone na kurejea kutumia madawa ya kulevya.   Amedai kuwa watu hao wana nia ya kumwaibisha yeye pamoja na Rais Jakaya Kikwete aliyemsaidia. Akizungumza na Mpekuzi, Ray C amesema hawezi kuacha matibabu au kurudia matumizi ya madawa ya kulevya kwani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>