Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari Polisi Mbaroni akidaiwa Kubaka Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza Shinyanga

$
0
0
  Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Justus Kamugisha **** Askari polisi wa kituo kikuu cha Shinyanga aliyefahamika kwa jina moja la Alex, amewekwa korokoroni akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha kwanza , mkazi wa kata ya Ngokolo mjini hapa na kumsababishia maumivu makali sehemu za siri. Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Justus Kamugisha, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>