Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Washtakiwa wa Ugaidi wapangiwa hakimu mwingine

$
0
0
Kesi ya ugaidi inayowakabili viongozi 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu sasa kusikilizwa na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.   Awali kesi hiyo ambayo itatajwa Januari 13,2015 kwa ajili ya kuangalia kama upelelezi utakuwa umekamilika ama la ilikuwa ikisikilizwa na Hakimu Mkazi, Hellen Liwa ambaye hata hivyo alijitoa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>