Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Benki Kukopesha Vijana Nchini......Wasomi Vyuo Vikuu kuzoa hadi milioni 50,Walio katika vikundi kuanzia na Milioni 200

$
0
0
KATIKA kuhakikisha vijana nchini wanajiajiri, Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) na Benki ya TIB, wameingia mkataba wa kuwawezesha kwa mikopo wajasiriamali vijana wanaomaliza vyuo vikuu nchini na vingine vya kati ili waweze kujiajiri.   Katika makubaliano hayo, TIB itatoa mikopo hiyo na kwa kuanzia kiasi cha Sh bilioni 1 kimetengwa kwa ajili ya mpango huo utakaoratibiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>