Kwa mujibu wa ripoti ya World Giving Index 2014, Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya barani Afrika.
Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliodhaminiwa na Charities Aid
Foundation (CAF) na kufanywa na kampuni ya utafiti ya Gallup na
kuhusisha nchi 135 duniani kote. Data hizo zilikusanywa kuanzia mwaka
2013.
Tanzania ilikamata nafasi ya 14 kati ya nchi 24
↧