Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maandalizi ya Siku ya Uhuru Yapamba Moto

$
0
0
Maandalizi  ya siku ya uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) Desemba 9,  kutimiza miaka 53, yanaendelea  Uwanja wa Uhuru ambapo kutakuwa na gwaride la kijeshi  vikundi vya sanaa, kwaya, halaiki ya vijana, ‘brass band’ na  matarumbeta.   Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki, amesema milango katika Uwanja wa Uhuru itakuwa wazi kuanzia saa 12:00 asubuhi  ambapo wananchi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>