Makamu
wa Rais wa Bunge la Ulaya (EP), Rainer Wieland akizungumza jambo na
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Zanzibar, Salum Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVICHA),
Patrobas Katambi. Ujumbe wa CHADEMA ukiongozwa na mwanadiplomasia mahiri
Profesa Abdalla Safari, uko nchini Ubelgiji kwa ziara ya kikazi
kufuatia mwaliko wa bunge hilo.
Makamu
↧