Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jaji Mkuu ataka uwazi mahakamani....Asema Wanaangalia uwezekano wa Kesi zenye mvuto kuwa laivu kwenye TV

$
0
0
MAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea.   Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alisema jana mahakama inajifunza kutoka kwa nchi zinazoruhusu vituo vya redio na televisheni kurekodi na kuripoti habari wakati kesi zinaendelea.   Alisema hayo alipozungumza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>