Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete Atua Dar Es Salaam Leo Akitokea Marekani Kwenye Matibabu

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amesema amepona saratani baada ya kufanyiwa upasuaji mapema mwezi huu nchini Marekani.   "Niligundulika kuwa na hatua ya pili ya saratani ya kibofu, ambayo baadaye ikaonekana kuwa ni hatua ya kwanza," alisema Kikwete katika hotuba yake aliyoitoa akiwa uwanja wa ndege wa Dar Es Salaam baada ya kurejea kutoka Marekani.   Aliongeza kuwa madaktari wamesema sasa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>