MBUNGE wa
Mwibara (CCM), Alphaxard Kangi Lugola wakati akichangia katika Ripoti ya
PAC kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow bungeni leo, ameomba
kuchangia huku akiwa amevaa 'Kininja' ili kutowaangalia usoni wahusika
wa sakata hilo.
Mbali na
kuvaa hivyo, Lugola pia aliomba kama kanuni zinaruhusu achangie tena
akiwa amevaa nguo za chama chake cha CCM ili kuonyesha kuwa CCM haiungi
↧