Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wafugaji na Wakulima Kiteto Wauana Katika Mapigano

$
0
0
Migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji imeendelea kusababisha mauaji wilayani Kiteto mkoani Manyara baada ya watu watano, wakiwamo wakulima watatu na wafugaji wawili, kuuawa.   Mauaji hayo yalitokea juzi na jana kwenye vijiji vya Kazinguru na Lamrambogo katika Kata ya Matui ambako watu zaidi ya kumi na mmoja wanadaiwa kujeruhiwa huku maboma 14 ya wafugaji yakichomwa moto na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>