Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sitti Mtemvu: Siwezi kuwazuia watu kuongea, Ridhiwani amtia moyo

$
0
0
Aliyekuwa Miss Tanzania 2014 hadi Jumamosi iliyopita, Sitti Mtemvu  ametoa kauli yake mpya ikiwa ni siku chache baada ya kutangaza kujivua taji hilo.   Sitti ambaye taji la alilovua amepewa Lilian Kamazima kupitia twitter aliandika: Siwezi kuwazuia watu kuongea lakini naweza kujizuia kuzungumza — Sitii Abbas (@SitiiAbbasMtevu) November 10, 2014 Naye Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>