Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MIZENGO PINDA AIPIGILIA MISUMARI KAULI YAKE...ADAI KUWA SERIKALI HAITAMVUMILIA MTU YOYOTE ATAKAYEPANDIKIZA CHUKI NCHINI

$
0
0
Serikali imesisitiza kuwa haitavumilia kuona baadhi ya watu wanaendelea kupanda mbegu za chuki za kidini na kisiasa miongoni mwa Watanzania na imesisitiza kuchukua hatua bila huruma kuzimaliza njama hizo.Kauli hiyo ilitolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana, wakati akiahirisha Mkutano wa 11 wa Bunge hadi Agosti 27, mwaka huu.“Nataka niwahakikishie Watanzania kuwa serikali haitavumilia hata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>