Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mke Akatwa Mapanga baada ya kugoma kufanya mapenzi na mumewe.....RPC Kigoma ashauri wanawake kuwajibika kwa waume zao

$
0
0
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jafari Mohamed amewasihi wanawake walioolewa kuwajibika katika masuala ya unyumba kama maandiko ya dini yanavyoelekeza.   Kamanda huyo alitoa wito huo baada ya kutakiwa kutoa taarifa ya kukatwakatwa na panga kwa mwanamke mmoja kutokana na kukataa kufanya tendo la ndoa na mumewe kwa sababu ya uchovu.   Kamanda Mohamed alisema alikuwa hajapata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>