Mwigizaji wa kike anayetesa katika
tasnia ya filamu Bongo Diana Rose kimaro ‘Diana’ amedai kuwa hana
mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote na wala hafikirii kuwa na
Boyfriend kwani yeye bado ni mwanafunzi na akili yake yote ipo katika
masomo .
Wakati ukifika akiwa na maisha yake atachagua ni mwanaume yupi
anastahili kuwa naye kwa maisha yake rasmi lakini si sasa.
“Sijui kabisa
↧