Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari Polisi Amkata Vidole Vinne Mfanyakazi wake wa Ndani akimtuhumu kumwibia deki.....RPC Mwanza Ageuka Mbogo, aunda tume kubaini ukweli

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake. Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>