JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa
Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi
wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa
panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.
Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20
mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu
↧