Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lowassa, Makamba ‘wagongana’ kanisani

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba wamewaomba viongozi wa dini kuwasamehe viongozi wa Serikali waliokwaruzana nao wakati wa mchakato wa Katiba na kuliombea Taifa lipate viongozi wenye hekima na uwezo katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.    Viongozi hao walisema hayo jana katika maadhimisho ya miaka 50 ya Kanisa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>