Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Apple Tim Cook ametangaza kuwa ni shoga na kwamba anajivunia kuwa hivyo.
Cook alitoa tamko hilo ili kujaribu kuwasaidia watu wanaong’ang’ana
kutangaza jinsia zao katika ripoti iliochapishwa katika gazeti la
biashara la kila wiki la Bloomberg. Wiki hii Cook alitoa changamoto kwa
jimbo lake la Alabama kuhakikisha kuwa haki za mashoga na wale
wanaobadili
↧