Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Fisi Wavunja NDOA Ya Watu Mkoani Singida

$
0
0
Katika  hali isiyo ya kawaida, Limu Jumanne mkazi wa mkoani Singida, amemtimua na kumrejesha mkewe kwa wazazi wake akidai ni mvivu na mzembe kutokana na kushindwa kudhibiti kundi la fisi walioshambulia na kuua ndama sita wa ng’ombe akiwa machungani.   Limu anayeishi kitongoji cha Itigi, kijiji cha Irisya wilayani Singida anadaiwa kufanya ukatili huo mwishoni mwa wiki baada ya mkewe kurejea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles