Askari polisi wanne wamenusurika kulipuliwa kwa bomu la kienyeji usiku wa kuamkia jana lililotegwa eneo wanalokaa asakari hao.
Tukio hilo limetokea wakati wakikagua magari jirani na transimita ya kituo cha TBC Songea katika eneo la mshangano mkoani Ruvuma.
Hata hivyo polisi kwa kushirikiana jeshi la wananchi wamefanikiwa kutegiua bomu hilo.
Kutokana na kishindo kikubwa wakati wa
↧