Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sababu za Lucy Nkya (Naibu Waziri wa zamani na Mbunge wa Morogoro Kusini) kurushiana risasi za moto na mwanaye wa kumzaa zabainika.

$
0
0
Kufuatia taarifa zilizozagaa mjini Morogoro na kuripotiwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mbunge wa jimbo la morogoro kusini, Dk Lucy Nkya na mwanaye Jonas Nkya ambaye ni mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa kupitia vijana, kurushiana risasi kwenye ofisi yao binafsi ya faraja trust fund, watu hao wawili wamekanusha madai hayo na kudai  yameleta athari kubwa katika familia yao.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>