Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tanzania yapeleka vipimo vya ebola Nairobi

$
0
0
Vipimo vya mgonjwa aliyetoka nchini Senegal na kuwekwa kwenye karantini mjini Moshi kwa tahadhari ya ebola, baada ya kukaa nchini kwa siku 14 vimepelekwa katika maabara ya jijini  Nairobi nchini Kenya kwa uchunguzi.    Mbali na vipimo hivyo, lakini madaktari na wauguzi wote waliomhudumia na wanaendelea kumhudumia mgonjwa huyo, nao wamewekwa kwenye karantini wakisubiri majibu ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>