Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Leonidas Gama amekanusha uvumi ulioenea kuwa yupo mgonjwa wa Ebola mkoani humo.
Akizungumza na mwandishi wa habari wa Redio Sauti ya Injili katika
kipindi cha Dira kilichosikika hewani baada ya saa mbili usiku wa
Alhamisi, Oktoba 23, 2014, aliyemwambia kuwa zipo taarifa kuwa yupo
mgonjwa amegundulika na dalili za ugonjwa wa Ebola huko Shirimatunda,
↧