Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akana kuwepo mgonjwa wa Ebola

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Leonidas Gama amekanusha uvumi ulioenea kuwa yupo mgonjwa wa Ebola mkoani humo.   Akizungumza na mwandishi wa habari wa Redio Sauti ya Injili katika kipindi cha Dira kilichosikika hewani baada ya saa mbili usiku wa Alhamisi, Oktoba 23, 2014,  aliyemwambia kuwa zipo taarifa kuwa yupo mgonjwa amegundulika na dalili za ugonjwa wa Ebola huko Shirimatunda,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>