Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sitti Mtemvu akanusha kuwa na mtoto, asema ana miaka 23, hatovuliwa taji

$
0
0
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu amevilaumu vyombo vya habari kwa kueneza habari za uongo kuhusiana umri na maisha yake binafsi. Mtemvu amesema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. “Ukweli ni kwamba nina miaka 23 na cheti hicho hapo kinajielezea, mkitaka mnaweza kwenda hizo sehemu wanazotoa vyeti mkawauliza,” alisema Sitti. Mtemvu alisema cheti

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles