Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond afunguka juu ya tofauti zilizokuwa zikizungumzwa baina yake na Alikiba

$
0
0
Diamond na Alikiba ndio wasanii wa bongo fleva wenye timu mbili kubwa za mashabiki waliogawanyika na kuwashindanisha kwa niaba yao, Team Diamond v/s Team Alikiba, ushindani ambao umevalishwa ‘mask’ za ‘beef’ ambayo Nasib Abdul amedai kuwa haipo. Platnumz ambaye alikuwa bado hajaamua kuzungumzia tofauti hizo ameamua kufunguka juu ya ushindani pamoja na ‘beef’ iliyokuwa inazungumzwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles