Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TID achukizwa na kukanusha taarifa ya mtandao wa Kenya kuwa alidhalilishwa kimapenzi akiwa jela

$
0
0
Msanii mkongwe wa muziki nchini Khalid Mohamed aka TID amefunguka na kuelezea kuchukizwa kwake baada ya kuandikwa vibaya ya mtandao wa Kenya uitwao Mpasho kuwa alitendewa matendo machafu akiwa gerezani miaka kadhaa iliyopita. Akizungumza na Bongo5, TID amesema habari hiyo si ya kweli na imemdhalilisha.   “Mimi sijawahi hata siku moja kudhalilishwa jela wala kufanyiwa kitu chochote.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>