Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi jengo la kitega
uchumi la mfuko wa pensheni la PPF mjini Mwanza jana jioni.Wengine
katika picha kutoka kushoto,ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli,
Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bwana Wiliam Erio, Naibu Waziri wa Fedha Mhe.
Adam Malima, Mwenyekiti wa Bodi ya PPF Bwana Ramadhani Kija, na Mkuu wa
Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evaristi
↧