Kesi ya utekaji iliyokuwa ikimkabili Madee imemalizika kwa kulipa
faini ya shilingi 50,000. Madee alidaiwa kumteka kijana mmoja huko
Kigamboni baada ya kumuibia simu. Hakimu ametoa hukumu ya kifungo cha
jela miezi sita au kulipa faini ya kiasi hicho cha fedha. Madee alilipa
faini.
Madee amezungumza kwa mara ya kwanza tangu apatwe na mkasa huo.
“Yule dogo baada ya kuniibia simu
↧