VIJANA watatu wa familia moja ya Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa
baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao
waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.
Vijana hao kutoka katika Jamhuri
ya Dominica ni Yeuri (17 ), Gabriel (11) na Daniu Ramírez (12),
hata hivyo, kwa sasa wanaishi kwa amani baada ya kufanyiwa upasuaji na
kuondolewa matiti hayo.
Baba yao mzazi,
↧