Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali Yaiagiza Tanesco kuunganisha umeme siku moja kwa mteje atakayelipa Kabla ya Saa nne Asubuhi.....Meneja asiyeweza aachie ngazi

$
0
0
SERIKALI imelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuunganishia wateja umeme ndani ya siku kama watalipa kabla ya saa nne asubuhi.    Agizo hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga wakati akizungumza na menejimenti ya Tanesco mkoa wa Mwanza katika ziara yake ya kukagua miradi ya umeme.   “Baada ya Februari mwakani, mtu akija akalipia huduma ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>