Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

ARUSHA: Kijana Achapwa Viboko 120 na wazee wa Mila kwa kosa la kutofua Nguo zake na kuwa mchafu kupitiliza

$
0
0
SHERIA iliyopitishwa na wakazi wa Arumeru mkoani Arusha ya kuwachapa viboko 70 hadi 120 wasichana wanaovaa nusu uchi na wavulana wanaovaa mlegezo, kuvuta bangi, wizi, matusi na ulevi nyakati za kazi imeanza kufanya kazi baada ya kijana Zakayo Leonard (26) kuchapwa viboko 120 kwa makosa mbalimbali likiwemo uchafu wa kutofua nguo zake. Kijana huyo mkazi wa Ilboru, alihukumiwa adhabu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>