Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limelaani kitendo cha askari wake
wa kikosi cha Nyandoto 27 KJ Makoko ambaye inadaiwa alishindwa kutii
maelekezo ya askari polisi wa Usalama Barabarani wilayani Tarime, Mara
na kusabisha mapigano baina ya wanajeshi na polisi.
Katika tukio hilo ambalo lilitokea Oktoba Mosi, mwaka huu jioni katika
kituo cha mabasi mjini Tarime, raia mmoja na askari
↧