Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JWTZ yalaani Wanajeshi wake waliopigana na polisi huko Tarime

$
0
0
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)  limelaani kitendo cha askari wake wa kikosi cha Nyandoto 27 KJ Makoko ambaye inadaiwa alishindwa kutii maelekezo ya  askari polisi wa Usalama Barabarani wilayani  Tarime, Mara na kusabisha mapigano baina ya wanajeshi na polisi. Katika tukio hilo ambalo lilitokea Oktoba Mosi, mwaka huu jioni katika kituo cha mabasi mjini Tarime, raia mmoja na askari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles