Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MAMA AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUJIFUNGUA MAPACHA WALIOUNGANA NA WANATUMIA NJIA MOJA YA HAJA KUBWA

$
0
0
MWANAMKE mmoja mkazi wa Kijiji cha Kasumuru, Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, Grace Joel Lwesha (19), amelia baada ya kujifungua watoto walioungana. Akizungumza na waandishi wetu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jengo la Watoto, Grace alilia kutokana na kile alichodai kujifungua watoto walioungana wakati yeye ni maskini. Watoto hao mapacha wa kiume, Eliudi na Elikana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>