Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM Moshi yaandaa mapokezi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba

$
0
0
Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro, kimepanga kufanya mapokezi ya wajumbe waliokuwa katika Bunge la Katiba wakiwawakilisha wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro. Mapokezi hayo, yanatarajiwa kuanzia  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), na kuelekea ofisi za CCM mkoa, na kufuatiwa na mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika viwanja vya stendi kuu ya mabasi mjini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>