MJUMBE wa Bunge Maalumu, John Shibuda, amesema ni heri kuwa msaliti kuliko kuwa mhaini kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Shibuda ambaye alipewa nafasi kuzungumza baada ya Katiba Inayopendekezwa kupatikana, alisema anatoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), lakini amepinga kuwa sehemu ya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Alisema anajua ataitwa msaliti, jambo
↧