Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rasimu ya Katiba inayopendekezwa yapitishwa kwa Kishindo

$
0
0
Bunge maalumu la Katiba  limepitisha rasimu ya katiba iliyopendekezwa. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kura za ndio zilizopigwa na wajumbe kufikia kiwango kinachostahili.   Ili katiba hiyo iliyopendekezwa ipite ilitakiwa kuungwa mkono na kura za ndio theluthi mbili( 2/3)  kutoka Tanzania bara na theluthi mbili (2/3) za ndio kutoka Zanzibar.   Jumla ya wajumbe wote wa bunge hilo la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>